NDEGE YA MAJARIBIO YATUA UWANJA WA NDEGE SHINYANGA,MBARAWA ATAKA HUDUMA ZA USAFIRI KWA ABIRIA ZIANZE SEPTEMBA 1
Na Marco Maduhu, SHINYANGA Ndege ya majaribio imefanikiwa kutua na kuruka katika Uwanja wa Ndege wa Shinyanga leo Juni 12, 2026, ikiwa ni h...