BIBI WA MIAKA 70 ASOMBWA MAJI AKIVUKA MTO


Bibi wa miaka 70 asombwa maji, akivuka mto


Bibi wa miaka 70 asombwa maji, akivuka mto

Bibi mwenye umri wa miaka 70, ambaye jina lake bado halijajulikana amefariki dunia, kwa kusombwa na maji ya Mto Mkondoa.

Imeelezwaa kuwa Bibi huyo alikuwa anajaribu kuvuka eneo la Kidete Stesheni.

Mkuu wa wilaya ya Kilosa, Shaka Hamdu Shaka, amesema mvua hizo zilizonyesha tangu Machi 9 mwaka huu,pia zimesababisha mafuriko na kuathiri makazi ya wananchi katika maeneo ya Miyombo, Mhenda na Mkata Stesheni.

SOMA ZAIDI HAPA CHANZO NIPASHE
Powered by Blogger.